Art & Humanities

Browse Art & Humanities Topics/Papers by subfields

Art & Humanities Research Papers/Topics

Dhima Ya Taswira Katika Nyimbo Za Muziki Wa Kizazi Kipya: Mifano Kutoka Kwa Nasibu Abdul Na Mrisho Mpoto

IKISIRI Tasinifu hii ni matokeo ya utafiti uliochunguza Dhima ya Taswira katika Nyimbo za Muziki wa Kizazi Kipya: Mifano kutoka kwa Nasibu Abdul (Diamond Platinum) na Mrisho Mpoto (Mjomba). Utafiti huu uliongozwa na malengo matatu mahsusi ambayo ni kubainisha taswira zinazojitokeza katika nyimbo za waimbaji teule, kujadili dhima ya taswira katika nyimbo za waimbaji teule na kutathmini athari za taswira katika nyimbo za waimbaji teule. Nadharia iliyotumika katika utafiti huu ni semiotiki kupit...

Contribution Of The Zanzibar State Trading Corporation (Zstc) To Clove Production In Zanzibar

ABSTRACT The study focused on the clove production in Zanzibar. The main objective of the study was to assess the role of the Zanzibar State Trading Corporation (ZSTC) in clove production. The specific objectives were to examine the quality of services provided by the Zanzibar States Trading Corporation (ZSTC), to identify challenges facing clove farmers, to examine (ZSTC) assistance to clove growers/farmers in the effort of increasing clove production, to identify reasons for (ZSTC) to remai...

Language And Gender Stereotypes In Kiswahili Print Media: Gutter Press And Posters

ABSTRACT The major purpose of this study was to examine language and gender stereotype in Kiswahili print media in Tanzania as portrayed in gutter newspapers and posters. Specifically, the study examines the linguistic features used to portray gender stereotypes in gutter press and posters, causes of language that portray stereotypes and the impacts of the language that portray stereotypes to the readership. The data were collected through documentary review whereby 56 newspapers with 174 hea...

An Assessment Of Power Relations In Teacherstudent Interaction On Classroom Language: A Case Of Ward Secondary Schools In Mbeya City Council

ABSTRACT The study aimed at assessing how teacher-student interaction structures classroom language. The study was carried out in ward secondary schools in Mbeya City Council. The researcher chose Mbeya city council‘s ward secondary schools randomly to represent all wards secondary schools in Mbeya and Tanzania in general because all classroom‘s teaching lessons do share common interactional features under the umbrella of Tanzania Educational National Policy of 1995. The study employed ca...

Athari Za Sayansi Na Teknolojia Katika Hadithi Za Watoto: Mifano Ya Ngano Kutoka Wilaya Ya Micheweni Pemba

IKISIRI Utafiti huu ulikuwa na lengo la kuchunguza hadithi za watoto, kwa kuangalia jinsi hadithi hizo zilivyoathiriwa na maendeleo ya sasa ya sayansi na teknolojia. Hususan, kwa kuchunguza mifano ya hadithi za ngano kutoka Wilaya ya Micheweni Zanzibar. Utafiti ulibaini kwamba, sifa nyingi za Fasihi Simulizi zimebadilika au zimo katika mabadiliko makubwa. Hasa hasa katika kipindi hiki cha kukua na kuimarika kwa sayansi na teknolojia. Ikiwa hivyo ndivyo, basi ni dhahiri kwamba Fasihi Simulizi ...

Conflict Resolution Methods And The Tanzania-Malawi Border Dispute

ABSTRACT This study mainly focused on assessing the viability of conflict resolution methods, particularly mediation method, in the Tanzania-Malawi border dispute. The study was conducted in Kyela district in Mbeya region of Tanzania and it followed a cross-sectional research design. A total number of 100 respondents were involved in the study whereby methods such as fieldwork survey, interviews, focused group discussions and documentary review were employed during data collection. The analys...

Korasi Katika Tamthiliya Ya Kiswahili: Mifano Toka Tamthiliya Teule Za Ebrahim Hussein, Emmanuel Mbogo, Na Frowin Nyoni

IKISIRI Utafiti huu ulihusu Korasi katika Tamthiliya ya Kiswahili: Mifano toka Tamthiliya Teule za Ebrahim Hussein, Emmanuel Mbogo, na Frowin Nyoni. Dhana ya korasi imetumiwa ikimaanisha matendo, fikra au maneno ya kisanaa ayatoayo mtu au kikundi cha watu katika kitendo cha kisanaa kwa njia ya uimbaji, uradidi, nathari na kuambatana na vitendo. Matumizi ya mbinu hii ya korasi hayajatafitiwa wala kuhakikiwa vya kutosha katika Fasihi ya Kiswahili. Hali hii inakifanya kipengele hiki kutojulikana...

Athari Za Kimaendeleo Katika Muktadha Wa Nyimbo Za Ngoma Ya Mbassa Ya Jamii Ya Wachagga

IKISIRI Utafiti huu ulilenga kuchunguza athari za kimaendeleo katika muktadha wa nyimbo za ngoma ya Mbassa. Nyimbo za ngoma ya Mbasssa zilikuwa zinaimbwa katika muktadha wa unyago. Kwa sasa nyimbo hizi haziimbwi katika muktadha wa unyago kutokana na mabadiliko ya kimaendeleo, yakiwemo masuala ya utandawazi, mabadiliko ya sayansi na teknolojia, kupanuka kwa kiwango cha elimu, kubadilika kwa mfumo wa siasa, masuala ya kibiashara na mwingiliano katika tamaduni, kumeathiri nyimbo za ngoma ya Mbas...

The Contribution Of International Nongovernmental Organizations In Promoting Elderly-Friendly Health Services Delivery In Tanzania: A Case Of Helpage International In Morogoro Municipality

ABSTRACT This study assessed the contribution of INGOs in promoting elderly-friendly health services delivery in Tanzania: a case of the HelpAge international in Morogoro municipality with three specific objectives, namely to examine the role of INGOs in resource mobilization and funding to improve physical health infrastructure in Tanzania: to investigate the extent of facilitating training of staff in for preventive health to elderly people in Tanzania; and finally to investigate the effic...

The Effects Of The East African Common Market Protocol To The Tanzanian Domestic Market

ABSTRACT This study aimed to examine the effects of the East African Community to the Tanzanian Domestic Market: A case study of the Common Market Protocol. The study sought to achieve the following specific objectives, assessing the effects of the East African Common Market Protocol on Tanzanian Domestic Market, examining the economic relationship between the East African Community member states based on domestic market, Scrutinizing whether the Tanzanian Domestic Market benefited from the ...

A Comrehensive Examination Of Language Use In Swahili Movies (Bongo Movies) And Gender Stereotypes

ABSTRACT The study of language and gender has recently influenced a lot of scholars. It is an interesting subject because it relies on the issues related people and their daily life. This study was about examination of language use in Swahili movies and gender stereotypes. The aim of the study was to examine how language use in Swahili movies popularly known as Bongo movies conforms to gender stereotypes. The study was guided by two objectives one is to explore the variety of speech behaviour...

Matumizi Ya Lugha Katika Methali: Mfano Katika Methali Za Kinyakyusa

IKISIRI Utafiti ulichunguza matumizi ya lugha katika methali kwa kujiegemeza katika methali za Kinyakyusa kama mfano. Methali kama utanzu wa Fasihi Simulizi wenye hekima unaoeleza kwa ufasaha wa lugha kwa ufupi wenye kufurahisha, una umuhimu sana katika jamii katika kuelimisha. Kipengele hiki hakijatafitiwa kwa kina katika methali za Kinyakyusa. Taarifa za utafiti huu zilikusanywa kwa njia ya usaili, dodoso na mjadala wa kikundi katika mkoa wa Mbeya wilaya ya Kyela. Uchunguzi wa taarifa za ut...

Tanzania Rural Communities’ Use And Understanding Of Medical Language And Communication: A Case Of Madaba District Council

ABSTRACT This study informs about the rural communities‟ use and understanding of medical language and communication. In particular, the study informs about the rural people‟s understanding of the medical language and communication, their use of medical information and prescriptions and how the medical practitioners ensure that patients and care givers use the medical information and prescriptions as intended. Data for the study were obtained from two wards of Madaba District Council, nam...

Origin And Development Of Birnin Tudu Settlement In Gummi Local Government To 2014

TABLE OF CONTENT Tittle page…………………………………………………………………………………..i Approval page …………………………………………………………………………….ii Dedication ……………………………………………………………………………….iii Acknowledgement ………………………………………………………………………..iv Table of content …………………………………�...

Ujaala Katika Ushairi Wa Kiswahili: Mifano Kutoka Tungizi Za Mnyagatwa Na Diwani Ya Midulu

IKISIRI Utafiti huu ulichunguza ujaala katika ushairi wa Kiswahili huku uchunguzi na mifano vikitolewa katika diwani ya Tungizi za Mnyagatwa na Diwani ya Midulu zilizotungwa na Tigiti Sengo. Ujaala ni mtazamo ambao watunzi wa kazi za kifasihi huutumia katika kusana kazi zao. Dhana ya ujaala tumeitumia tukimaanisha hali ya viumbe kuishi kwa imani ya kuwa ipo kani inayoyaongoza na kuyatawala maisha yao hapa ulimwenguni. Dhana hii ya ujaala katika ushairi wa Kiswahili haijachunguzwa vya kutosha;...


4471 - 4485 Of 8249 Results